7 Wao huichukua begani,+ huibeba na kuiweka mahali pake ili isimame tuli. Hiyo haisongi kutoka mahali pake inaposimama.+ Mtu hata huililia, lakini haijibu; haimwokoi mtu kutoka katika taabu yake.+
9 Msichukuliwe mbali na mafundisho mbalimbali na yaliyo mageni;+ kwa maana ni vizuri moyo upewe uthabiti kwa fadhili zisizostahiliwa,+ si kwa vyakula,+ ambavyo wale wanaojishughulisha navyo hawajapata faida.