Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 46:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wao huichukua begani,+ huibeba na kuiweka mahali pake ili isimame tuli. Hiyo haisongi kutoka mahali pake inaposimama.+ Mtu hata huililia, lakini haijibu; haimwokoi mtu kutoka katika taabu yake.+

  • 2 Timotheo 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 nao watageuza masikio yao kutoka kwenye kweli, nao watageuzwa kando kufuata hadithi za uwongo.+

  • Waebrania 13:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Msichukuliwe mbali na mafundisho mbalimbali na yaliyo mageni;+ kwa maana ni vizuri moyo upewe uthabiti kwa fadhili zisizostahiliwa,+ si kwa vyakula,+ ambavyo wale wanaojishughulisha navyo hawajapata faida.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki