Zaburi 36:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wao hunywa na kushiba vinono vya nyumba yako;+Nawe huwanywesha kwenye mito ya raha zako.+ Zaburi 63:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nafsi yangu imeshiba sehemu bora, naam, mafuta,+Na kwa midomo yenye vigelegele vya shangwe kinywa changu hutoa sifa.+ Mathayo 22:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tena akawatuma watumwa wengine,+ akisema, ‘Waambieni wale walioalikwa: “Tazama! Nimetayarisha chakula changu cha mchana,+ ng’ombe-dume wangu na wanyama waliononeshwa wamechinjwa, na vitu vyote viko tayari. Njooni kwenye karamu ya ndoa.” ’+
5 Nafsi yangu imeshiba sehemu bora, naam, mafuta,+Na kwa midomo yenye vigelegele vya shangwe kinywa changu hutoa sifa.+
4 Tena akawatuma watumwa wengine,+ akisema, ‘Waambieni wale walioalikwa: “Tazama! Nimetayarisha chakula changu cha mchana,+ ng’ombe-dume wangu na wanyama waliononeshwa wamechinjwa, na vitu vyote viko tayari. Njooni kwenye karamu ya ndoa.” ’+