Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 36:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Wao hunywa na kushiba vinono vya nyumba yako;+

      Nawe huwanywesha kwenye mito ya raha zako.+

  • Zaburi 63:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Nafsi yangu imeshiba sehemu bora, naam, mafuta,+

      Na kwa midomo yenye vigelegele vya shangwe kinywa changu hutoa sifa.+

  • Mathayo 22:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Tena akawatuma watumwa wengine,+ akisema, ‘Waambieni wale walioalikwa: “Tazama! Nimetayarisha chakula changu cha mchana,+ ng’ombe-dume wangu na wanyama waliononeshwa wamechinjwa, na vitu vyote viko tayari. Njooni kwenye karamu ya ndoa.” ’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki