Kutoka 23:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Wala hakutakuwa na mwanamke ambaye mimba yake itatoka wala mwanamke tasa katika nchi yako.+ Nitafanya hesabu ya siku zako itimie.+ Isaya 33:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na hakuna mkaaji atakayesema: “Mimi ni mgonjwa.”+ Watu wanaokaa katika nchi hiyo watakuwa wamesamehewa kosa lao.+ Isaya 54:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na wana wako wote+ watakuwa watu waliofundishwa na Yehova,+ na amani ya wana wako itakuwa nyingi.+
26 Wala hakutakuwa na mwanamke ambaye mimba yake itatoka wala mwanamke tasa katika nchi yako.+ Nitafanya hesabu ya siku zako itimie.+
24 Na hakuna mkaaji atakayesema: “Mimi ni mgonjwa.”+ Watu wanaokaa katika nchi hiyo watakuwa wamesamehewa kosa lao.+
13 Na wana wako wote+ watakuwa watu waliofundishwa na Yehova,+ na amani ya wana wako itakuwa nyingi.+