Kutoka 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Mheshimu baba yako na mama yako+ ili siku zako zipate kuwa ndefu juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.+ Zaburi 92:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Bado wataendelea kusitawi wakati wa kuwa na kichwa chenye mvi,+Wataendelea kuwa wanono na wabichi,+
12 “Mheshimu baba yako na mama yako+ ili siku zako zipate kuwa ndefu juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.+
14 Bado wataendelea kusitawi wakati wa kuwa na kichwa chenye mvi,+Wataendelea kuwa wanono na wabichi,+