Isaya 61:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na uzao wao kwa kweli utajulikana katika mataifa, na wazao wao katikati ya vikundi vya watu.+ Wale wote wanaowaona watawatambua,+ kwamba wao ni uzao ambao Yehova amebariki.”+ Zekaria 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nami nitawatawanya kama mbegu katikati ya mataifa,+ nao watanikumbuka wakiwa mbali;+ nao wataamka pamoja na wana wao na kurudi.+
9 Na uzao wao kwa kweli utajulikana katika mataifa, na wazao wao katikati ya vikundi vya watu.+ Wale wote wanaowaona watawatambua,+ kwamba wao ni uzao ambao Yehova amebariki.”+
9 Nami nitawatawanya kama mbegu katikati ya mataifa,+ nao watanikumbuka wakiwa mbali;+ nao wataamka pamoja na wana wao na kurudi.+