Mwanzo 22:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na kupitia kwa uzao wako+ mataifa yote ya dunia hakika yatajibariki kwa sababu wewe umeisikiliza sauti yangu.’”+ Zekaria 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na itakuwa kwamba kama vile mlivyokuwa laana katikati ya mataifa,+ enyi nyumba ya Yuda na nyumba ya Israeli,+ ndivyo nitakavyowaokoa, nanyi mtakuwa baraka.+ Msiogope.+ Mikono yenu na iwe na nguvu.’+
18 Na kupitia kwa uzao wako+ mataifa yote ya dunia hakika yatajibariki kwa sababu wewe umeisikiliza sauti yangu.’”+
13 Na itakuwa kwamba kama vile mlivyokuwa laana katikati ya mataifa,+ enyi nyumba ya Yuda na nyumba ya Israeli,+ ndivyo nitakavyowaokoa, nanyi mtakuwa baraka.+ Msiogope.+ Mikono yenu na iwe na nguvu.’+