Zaburi 91:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa sababu ameweka upendo wake juu yangu,+Mimi nitamwokoa pia.+Nitamlinda kwa sababu amelijua jina langu.+ Yakobo 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mwenye furaha ni mtu anayeendelea kuvumilia jaribu,+ kwa sababu akiisha kukubaliwa atapokea taji la uzima,+ ambalo Yehova aliwaahidi wale wanaoendelea kumpenda.+
14 Kwa sababu ameweka upendo wake juu yangu,+Mimi nitamwokoa pia.+Nitamlinda kwa sababu amelijua jina langu.+
12 Mwenye furaha ni mtu anayeendelea kuvumilia jaribu,+ kwa sababu akiisha kukubaliwa atapokea taji la uzima,+ ambalo Yehova aliwaahidi wale wanaoendelea kumpenda.+