11 Nanyi mnapaswa kushangilia mbele za Yehova Mungu wenu, ninyi na wana wenu, mabinti wenu, watumwa wenu wa kiume, vijakazi wenu, Walawi walio ndani ya majiji yenu, wakaaji wageni, mayatima, na wajane walio kati yenu, mahali ambapo Yehova Mungu wenu atachagua jina lake likae.+