Zaburi 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ni ya kutamaniwa kuliko dhahabu, naam, kuliko dhahabu safi sana;+Na tamu kuliko asali+ na asali yenye kutiririka ya sega.+ Zaburi 119:127 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 127 Ndiyo sababu nimezipenda amri zako+Kuliko dhahabu, naam, dhahabu safi.+
10 Ni ya kutamaniwa kuliko dhahabu, naam, kuliko dhahabu safi sana;+Na tamu kuliko asali+ na asali yenye kutiririka ya sega.+