Zaburi 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ni ya kutamaniwa kuliko dhahabu, naam, kuliko dhahabu safi sana;+Na tamu kuliko asali+ na asali yenye kutiririka ya sega.+ Zaburi 119:127 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 127 Ndiyo sababu nimezipenda amri zako+Kuliko dhahabu, naam, dhahabu safi.+ Methali 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ina thamani kuliko marijani,+ na mapendezi yako mengine yote hayawezi kulinganishwa nayo. Methali 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Chukueni nidhamu yangu wala si fedha, na ujuzi badala ya dhahabu bora.+
10 Ni ya kutamaniwa kuliko dhahabu, naam, kuliko dhahabu safi sana;+Na tamu kuliko asali+ na asali yenye kutiririka ya sega.+