9 Na ijapokuwa mkutanishaji alipata kuwa na hekima,+ pia aliendelea kuwafundisha watu ujuzi,+ naye alitafakari na kutafuta kwa bidii,+ apate kupanga methali nyingi kwa utaratibu.+
29 Neno lililooza na lisitoke kinywani mwenu,+ bali neno lolote ambalo ni jema kwa ajili ya kujenga kulingana na uhitaji, ili liwape wasikiaji lile linalofaa.+