Zaburi 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yeye anayetembea bila kosa+ na kuzoea kutenda uadilifu+Na kusema kweli katika moyo wake.+ Zaburi 77:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nitakumbuka muziki wangu wa kinanda wakati wa usiku;+Nitaonyesha hangaiko moyoni,+Na roho yangu itatafuta kwa uangalifu. Methali 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hekima inapoingia moyoni mwako+ na ujuzi kupendeza nafsi yako,+ Methali 15:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Moyo wa mwadilifu hutafakari ili kujibu,+ lakini kinywa cha waovu hububujika mambo mabaya.+ Mathayo 12:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Mtu mwema hutoa mambo mema kutoka katika hazina yake njema,+ lakini mtu mwovu hutoa mambo mabaya kutoka katika hazina yake mbaya.+
6 Nitakumbuka muziki wangu wa kinanda wakati wa usiku;+Nitaonyesha hangaiko moyoni,+Na roho yangu itatafuta kwa uangalifu.
35 Mtu mwema hutoa mambo mema kutoka katika hazina yake njema,+ lakini mtu mwovu hutoa mambo mabaya kutoka katika hazina yake mbaya.+