Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yeye anayetembea bila kosa+ na kuzoea kutenda uadilifu+

      Na kusema kweli katika moyo wake.+

  • Zaburi 77:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nitakumbuka muziki wangu wa kinanda wakati wa usiku;+

      Nitaonyesha hangaiko moyoni,+

      Na roho yangu itatafuta kwa uangalifu.

  • Methali 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hekima inapoingia moyoni mwako+ na ujuzi kupendeza nafsi yako,+

  • Methali 15:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Moyo wa mwadilifu hutafakari ili kujibu,+ lakini kinywa cha waovu hububujika mambo mabaya.+

  • Mathayo 12:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Mtu mwema hutoa mambo mema kutoka katika hazina yake njema,+ lakini mtu mwovu hutoa mambo mabaya kutoka katika hazina yake mbaya.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki