Isaya 58:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kama ingekuwa hivyo wewe ungeita, na Yehova mwenyewe angejibu;+ ungelilia msaada, naye angesema, ‘Mimi hapa!’ “Ukiondoa katikati yako nira,+ kunyoosha kidole+ na kusema mambo yenye madhara;+ Luka 12:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 kwa maana mataifa ya ulimwengu yanafuatilia kwa bidii mambo yote hayo, lakini Baba yenu anajua mnahitaji mambo hayo.+ Waroma 8:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Vivyo hivyo roho+ pia hujiunga kutoa msaada kwa ajili ya udhaifu wetu;+ kwa maana lile tatizo kuhusu tunalohitaji kusali hatujui,+ lakini roho+ yenyewe hutuombea pamoja na kuugua kusikotamkwa.
9 Kama ingekuwa hivyo wewe ungeita, na Yehova mwenyewe angejibu;+ ungelilia msaada, naye angesema, ‘Mimi hapa!’ “Ukiondoa katikati yako nira,+ kunyoosha kidole+ na kusema mambo yenye madhara;+
30 kwa maana mataifa ya ulimwengu yanafuatilia kwa bidii mambo yote hayo, lakini Baba yenu anajua mnahitaji mambo hayo.+
26 Vivyo hivyo roho+ pia hujiunga kutoa msaada kwa ajili ya udhaifu wetu;+ kwa maana lile tatizo kuhusu tunalohitaji kusali hatujui,+ lakini roho+ yenyewe hutuombea pamoja na kuugua kusikotamkwa.