Mhubiri 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kisha nikasema moyoni mwangu: “Tazama! Nimepata hekima nyingi, kuliko mtu yeyote aliyenitangulia Yerusalemu,+ na moyo wangu ulipata hekima nyingi sana na ujuzi.”+
16 Kisha nikasema moyoni mwangu: “Tazama! Nimepata hekima nyingi, kuliko mtu yeyote aliyenitangulia Yerusalemu,+ na moyo wangu ulipata hekima nyingi sana na ujuzi.”+