Mhubiri 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nami mwenyewe nikasema moyoni mwangu:+ “Mwisho uleule unaompata mjinga+ utanipata mimi, naam mimi.”+ Kwa nini mimi basi, nikawa na hekima, hekima yenye kuzidi sana+ hivyo wakati huo? Kisha nikasema moyoni mwangu: “Hilo pia ni ubatili.” Mhubiri 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Usiwe mwadilifu kupita kiasi,+ wala kujionyesha kuwa na hekima kupita kiasi.+ Kwa nini ujiletee ukiwa?+ 1 Wakorintho 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na tena: “Yehova anajua kwamba kufikiri kwa watu wenye hekima ni kwa ubatili.”+
15 Nami mwenyewe nikasema moyoni mwangu:+ “Mwisho uleule unaompata mjinga+ utanipata mimi, naam mimi.”+ Kwa nini mimi basi, nikawa na hekima, hekima yenye kuzidi sana+ hivyo wakati huo? Kisha nikasema moyoni mwangu: “Hilo pia ni ubatili.”
16 Usiwe mwadilifu kupita kiasi,+ wala kujionyesha kuwa na hekima kupita kiasi.+ Kwa nini ujiletee ukiwa?+