Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nami mwenyewe nikasema moyoni mwangu:+ “Mwisho uleule unaompata mjinga+ utanipata mimi, naam mimi.”+ Kwa nini mimi basi, nikawa na hekima, hekima yenye kuzidi sana+ hivyo wakati huo? Kisha nikasema moyoni mwangu: “Hilo pia ni ubatili.”

  • Mhubiri 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Usiwe mwadilifu kupita kiasi,+ wala kujionyesha kuwa na hekima kupita kiasi.+ Kwa nini ujiletee ukiwa?+

  • 1 Wakorintho 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na tena: “Yehova anajua kwamba kufikiri kwa watu wenye hekima ni kwa ubatili.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki