16 Mimi, naam, mimi mwenyewe nilisema moyoni mwangu:+ “Tazama! Mimi mwenyewe nimepata hekima nyingi kuliko yeyote aliyenitangulia katika Yerusalemu,+ nao moyo wangu mwenyewe umeona kwa wingi sana hekima na ujuzi.”+
17 Mimi mwenyewe nimesema moyoni mwangu:+ “Mungu wa kweli atahukumu mwadilifu na mwovu+ pia, kwa maana hapo kuna wakati wa kila jambo na kuhusu kila kazi.”+