1 Wafalme 11:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Kisha Sulemani akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa katika Jiji la Daudi+ baba yake; na Rehoboamu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake. Zaburi 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana yeye huona kwamba hata wenye hekima wanakufa,+Mjinga na asiyetumia akili huangamia wote pamoja,+Nao hulazimika kuwaachia wengine mali yao.+
43 Kisha Sulemani akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa katika Jiji la Daudi+ baba yake; na Rehoboamu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.
10 Kwa maana yeye huona kwamba hata wenye hekima wanakufa,+Mjinga na asiyetumia akili huangamia wote pamoja,+Nao hulazimika kuwaachia wengine mali yao.+