3 Kwa maana kupitia fadhili zisizostahiliwa nilizopewa namwambia kila mtu hapo kati yenu asijifikirie mwenyewe zaidi kuliko ilivyo lazima kufikiri;+ bali kufikiri ili awe na akili timamu,+ kila mmoja kama Mungu alivyomgawia kipimo+ cha imani.+
18 Yeyote asiwe akijishawishi mwenyewe: Yeyote kati yenu akifikiri yeye ni mwenye hekima+ katika mfumo huu wa mambo, acheni awe mpumbavu, ili awe mwenye hekima.+