Mathayo 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yesu akamwambia: “Ikiwa unataka kuwa mkamilifu, nenda ukauze mali zako na uwape maskini nawe utakuwa na hazina mbinguni,+ kisha uje uwe mfuasi wangu.”+ Marko 14:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana mafuta hayo yangaliweza kuuzwa kwa dinari zaidi ya mia tatu na kupewa maskini!” Nao walikuwa wamechukizwa sana na mwanamke huyo.+
21 Yesu akamwambia: “Ikiwa unataka kuwa mkamilifu, nenda ukauze mali zako na uwape maskini nawe utakuwa na hazina mbinguni,+ kisha uje uwe mfuasi wangu.”+
5 Kwa maana mafuta hayo yangaliweza kuuzwa kwa dinari zaidi ya mia tatu na kupewa maskini!” Nao walikuwa wamechukizwa sana na mwanamke huyo.+