Mathayo 26:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Walipoona hilo wanafunzi wakaghadhibika na kusema: “Hasara hii ni ya nini?+ Marko 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo wengine wakakasirika na kusema katikati yao wenyewe: “Kwa nini hasara hii ya mafuta yenye marashi?+ Luka 7:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Wewe hukukipaka kichwa changu mafuta;+ lakini mwanamke huyu aliipaka miguu yangu mafuta yenye marashi.
4 Ndipo wengine wakakasirika na kusema katikati yao wenyewe: “Kwa nini hasara hii ya mafuta yenye marashi?+
46 Wewe hukukipaka kichwa changu mafuta;+ lakini mwanamke huyu aliipaka miguu yangu mafuta yenye marashi.