Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 30:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana najua vema kwamba utanirudisha kwenye kifo,+

      Na kwenye nyumba ya kukutania ya kila mtu aliye hai.

  • Zaburi 49:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana yeye huona kwamba hata wenye hekima wanakufa,+

      Mjinga na asiyetumia akili huangamia wote pamoja,+

      Nao hulazimika kuwaachia wengine mali yao.+

  • Mhubiri 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Wote wanaenda mahali pamoja.+ Wote wametoka katika mavumbi,+ nao wote wanarudi mavumbini.+

  • Mhubiri 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Hakuna mwanadamu aliye na nguvu juu ya roho ili kuizuia roho;+ wala hakuna nguvu zozote za kuzuia katika siku ya kifo;+ wala hakuna kuachiliwa katika vita.+ Wala uovu hautawaokoa wanaouzoea.+

  • Mhubiri 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Wote ni sawa katika lile ambalo wote wanalo.+ Kuna mwisho mmoja+ kwa mwadilifu+ na kwa mwovu,+ mtu mwema na mtu safi na mtu asiye safi, na mtu anayetoa dhabihu na mtu ambaye hatoi dhabihu. Mtu mwema ni sawa na mtenda-dhambi;+ mtu anayekula kiapo ni sawa na yeyote yule ambaye ameogopa kiapo rasmi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki