1 Samweli 14:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Watu walipoingia msituni, tazama! asali ilikuwa ikidondoka,+ lakini hakuna yeyote aliyenyoosha mkono wake kuuleta kinywani pake, kwa sababu watu waliogopa kile kiapo.+
26 Watu walipoingia msituni, tazama! asali ilikuwa ikidondoka,+ lakini hakuna yeyote aliyenyoosha mkono wake kuuleta kinywani pake, kwa sababu watu waliogopa kile kiapo.+