12 tazama! Hakika nitafanya kulingana na maneno yako.+ Tazama! Mimi hakika nitakupa moyo wenye hekima na wenye uelewaji,+ hivi kwamba hakuna mmoja kama wewe ambaye amekuwako kabla yako, na baada yako hatasimama mwingine kama wewe.+
1Naye Sulemani mwana wa Daudi akaendelea kupata nguvu katika ufalme wake,+ na Yehova Mungu wake alikuwa pamoja naye,+ akaendelea kumfanya kuwa mkuu zaidi.+