12 Wakati siku zako zitakapotimia,+ nawe ulale pamoja na mababu zako,+ ndipo nitakapoinua uzao wako baada yako, ambao utatoka ndani ya viuno vyako; nami kwa kweli nitaufanya imara ufalme wake.+
25 Kwa maana wewe mwenyewe, Mungu wangu, umemfunulia mtumishi wako kusudi la kumjengea nyumba.+ Ndiyo sababu mtumishi wako amepata nafasi ya kusali mbele zako.
6 “Tena akaniambia, ‘Sulemani mwana wako ndiye atakayejenga nyumba yangu+ na nyua zangu; kwa maana nimemchagua yeye kuwa mwanangu,+ nami nitakuwa baba yake.+