Hesabu 24:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Maji yanatiririka kutoka katika ndoo zake mbili za ngozi,Na mbegu yake iko kando ya maji mengi.+Mfalme+ wake pia atakuwa juu kuliko Agagi,+Na ufalme wake utainuliwa juu.+ 1 Timotheo 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ufunuo huo yule Mwenye Uwezo Mkubwa+ aliye wa pekee na mwenye furaha atauonyesha katika nyakati zake wenyewe zilizowekwa,+ yeye Mfalme+ wa wale wanaotawala wakiwa wafalme na Bwana+ wa wale wanaotawala wakiwa mabwana, Ufunuo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 na kutoka kwa Yesu Kristo, “Shahidi Mwaminifu,”+ “Mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,”+ na “Mtawala wa wafalme wa dunia.”+ Kwake yeye anayetupenda+ na aliyetufungua kutoka katika dhambi zetu kupitia damu yake mwenyewe+— Ufunuo 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na juu ya vazi lake la nje, juu ya paja lake, ana jina ambalo limeandikwa, Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.+
7 Maji yanatiririka kutoka katika ndoo zake mbili za ngozi,Na mbegu yake iko kando ya maji mengi.+Mfalme+ wake pia atakuwa juu kuliko Agagi,+Na ufalme wake utainuliwa juu.+
15 Ufunuo huo yule Mwenye Uwezo Mkubwa+ aliye wa pekee na mwenye furaha atauonyesha katika nyakati zake wenyewe zilizowekwa,+ yeye Mfalme+ wa wale wanaotawala wakiwa wafalme na Bwana+ wa wale wanaotawala wakiwa mabwana,
5 na kutoka kwa Yesu Kristo, “Shahidi Mwaminifu,”+ “Mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu,”+ na “Mtawala wa wafalme wa dunia.”+ Kwake yeye anayetupenda+ na aliyetufungua kutoka katika dhambi zetu kupitia damu yake mwenyewe+—
16 Na juu ya vazi lake la nje, juu ya paja lake, ana jina ambalo limeandikwa, Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.+