Danieli 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Alipokuwa amelewa, Belshaza akaagiza vyombo vya dhahabu na vya fedha ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka katika hekalu la Yerusalemu viletwe,+ ili avitumie kunywea divai pamoja na wakuu wake, masuria wake, na wake zake wadogo. Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 5:2 dp 101 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 5:2 Unabii wa Danieli, uku. 101
2 Alipokuwa amelewa, Belshaza akaagiza vyombo vya dhahabu na vya fedha ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka katika hekalu la Yerusalemu viletwe,+ ili avitumie kunywea divai pamoja na wakuu wake, masuria wake, na wake zake wadogo.