2 Mambo ya Nyakati 36:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na sehemu ya vyombo+ vya nyumba ya Yehova, Nebukadneza+ akavipeleka Babiloni kisha akaviweka katika jumba lake la kifalme kule Babiloni.+ Yeremia 27:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Kwa maana Yehova wa majeshi amesema hivi kuhusu zile nguzo+ na kuhusu ile bahari+ na kuhusu yale mabehewa+ na kuhusu yale mabaki ya vyombo ambavyo vimebaki katika jiji hili,+
7 Na sehemu ya vyombo+ vya nyumba ya Yehova, Nebukadneza+ akavipeleka Babiloni kisha akaviweka katika jumba lake la kifalme kule Babiloni.+
19 “Kwa maana Yehova wa majeshi amesema hivi kuhusu zile nguzo+ na kuhusu ile bahari+ na kuhusu yale mabehewa+ na kuhusu yale mabaki ya vyombo ambavyo vimebaki katika jiji hili,+