18 “Mika+ wa Moreshethi alikuwa akitabiri katika siku za utawala wa Mfalme Hezekia+ wa Yuda, akawaambia watu wote wa Yuda, ‘Yehova wa majeshi anasema hivi:
“Sayuni litalimwa kama shamba,
Yerusalemu litakuwa marundo ya magofu,+
Na mlima wa Nyumba utakuwa kama vilima msituni.”’+