Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo nikasema: “Ni mpaka wakati gani, Ee Yehova?”+ Kisha akasema: “Ni mpaka majiji yabomoke, yawe bila mkaaji, na nyumba ziwe bila mtu wa udongo, na nchi iharibiwe iwe ukiwa;+

  • Yeremia 35:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Kwa hiyo Yehova, Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta juu ya Yuda na juu ya wakaaji wote wa Yerusalemu ule msiba wote ambao nimesema juu yao,+ kwa sababu nimesema nao lakini hawakusikiliza, nami niliendelea kuwaita lakini hawakujibu.’”+

  • Yeremia 39:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na Wakaldayo wakateketeza kwa moto nyumba ya mfalme na nyumba za watu,+ nao wakazibomoa kuta za Yerusalemu.+

  • Yeremia 52:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na majeshi yote ya Wakaldayo yaliyokuwa pamoja na yule mkuu wa walinzi yakazibomoa kuta zote za Yerusalemu, kuzunguka pande zote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki