Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Na itatukia kwamba ikiwa hutasikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri yake yote na kanuni zake ninazokuamuru wewe leo, laana hizi zote zitakujia pia na kukufikia:+

  • Kumbukumbu la Torati 29:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya nchi hiyo kwa kuleta juu yake laana yote iliyoandikwa katika kitabu hiki.+

  • Yoshua 23:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na itatukia kwamba, kama vile neno lote jema ambalo Yehova Mungu wenu amewaambia ninyi limewafikia ninyi,+ vivyo hivyo Yehova ataleta juu yenu neno lote ovu mpaka atakapokuwa amewaangamiza ninyi kutoka katika nchi hii nzuri ambayo Yehova Mungu wenu amewapa ninyi,+

  • 2 Wafalme 23:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Lakini Yehova akasema: “Nitaondoa Yuda+ pia mbele za macho yangu,+ kama nilivyoondoa Israeli;+ nami nitalikataa jiji hili ambalo nimechagua, naam, Yerusalemu, na nyumba ambayo nimesema hivi kuihusu, ‘Jina langu litaendelea kuwa humo.’”+

  • Yeremia 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Nami nitaweka juu yao familia nne,’+ asema Yehova, ‘upanga wa kuua, na mbwa wa kukokota, na viumbe vinavyoruka vya mbinguni+ na wanyama wa dunia ili wale na kuangamiza.

  • Mika 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi kwa sababu yenu Sayuni utalimwa kama shamba, na Yerusalemu litakuwa marundo ya mabomoko,+ na mlima wa nyumba hiyo utakuwa kama mahali pa juu pa msitu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki