Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 1:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa sababu nimewaita lakini mnaendelea kukataa.+ Nimenyoosha mkono wangu lakini hakuna yeyote anayetazama.+

  • Isaya 65:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami nitawaandikia ninyi upanga,+ nanyi nyote mtainama ili kuuawa;+ kwa sababu niliita,+ lakini hamkuitika; nilisema, lakini hamkusikiliza;+ nanyi mliendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pangu,+ mlichagua jambo ambalo halikunipendeza.”+

  • Isaya 66:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mimi nami nitachagua njia za kuwatendea vibaya;+ nami nitaleta juu yao mambo yanayowatia hofu;+ kwa sababu niliita, lakini hakuna aliyejibu; nilisema, lakini hakuna aliyesikiliza;+ nao waliendelea kutenda yaliyokuwa mabaya machoni pangu, walichagua jambo ambalo sikupendezwa nalo.”+

  • Yeremia 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na sasa kwa sababu mliendelea kufanya kazi hizi zote,’ asema Yehova, ‘nami nikaendelea kusema nanyi, nikiamka mapema na kusema,+ lakini hamkusikiliza,+ nami nikaendelea kuwaita, lakini hamkujibu,+

  • Yeremia 26:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 kwa kuyasikiliza maneno ya watumishi wangu manabii, ambao ninawatuma kwenu, nikiamka mapema na kuwatuma, ambao hamkuwasikiliza,+

  • Yeremia 32:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Nao wakaendelea kunipa mimi mgongo wala si uso;+ ingawa walikuwa wakifundishwa, kuamka mapema na kuwafundisha, lakini hakuna hata mmoja wao aliyesikiliza ili kupokea nidhamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki