9 Nao hawakusikiliza,+ lakini Manase akaendelea kuwashawishi wafanye yaliyokuwa mabaya+ kuliko yale mataifa+ ambayo Yehova alikuwa ameyaangamiza kutoka mbele ya wana wa Israeli.
3 watu ambao washiriki wake ni wale wanaonitia uchungu+ mbele za uso wangu daima, wakiwa wanatoa dhabihu katika bustani+ na kufukiza moshi wa dhabihu+ juu ya matofali,
28 Na kama vile ambavyo hawakukubali kumjua Mungu katika ujuzi sahihi,+ Mungu aliwaacha katika hali ya akili iliyokataliwa,+ ili wafanye mambo yasiyofaa,+