Zaburi 95:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ambao niliapa juu yao kwa hasira yangu:+“Hawataingia katika mahali pangu pa kupumzikia.”+ Waroma 11:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa maana kama vile ninyi wakati mmoja mlivyokuwa hamtii+ Mungu lakini sasa mmeonyeshwa rehema+ kwa sababu ya kutotii kwao,+ Waebrania 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Zaidi ya hayo, Mungu alichukizwa na akina nani kwa miaka 40?+ Je, haikuwa na wale waliotenda dhambi, ambao mizoga yao ilianguka nyikani?+
30 Kwa maana kama vile ninyi wakati mmoja mlivyokuwa hamtii+ Mungu lakini sasa mmeonyeshwa rehema+ kwa sababu ya kutotii kwao,+
17 Zaidi ya hayo, Mungu alichukizwa na akina nani kwa miaka 40?+ Je, haikuwa na wale waliotenda dhambi, ambao mizoga yao ilianguka nyikani?+