Matendo 7:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+ Waebrania 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 msiifanye mioyo yenu kuwa migumu kama ule wakati wa kusababisha hasira kali,+ kama katika ile siku ya kufanya jaribu+ nyikani,+
51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+
8 msiifanye mioyo yenu kuwa migumu kama ule wakati wa kusababisha hasira kali,+ kama katika ile siku ya kufanya jaribu+ nyikani,+