4 Basi nitachagua njia za kuwaadhibu,+
Nami nitawaletea mambo yaleyale wanayoogopa sana.
Kwa sababu nilipoita, hakuna aliyejibu;
Nilipozungumza, hakuna aliyesikiliza.+
Waliendelea kutenda maovu machoni pangu,
Nao wakachagua kufanya mambo yaliyonichukiza.”+