2 Wafalme 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini hawakutii, na Manase aliendelea kuwapotosha, akasababisha watende uovu mkubwa zaidi kuliko uliofanywa na mataifa ambayo Yehova alikuwa ameyaangamiza kutoka mbele ya Waisraeli.+ Isaya 65:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Watu wanaonikasirisha daima mbele za uso wangu,+Wanaotoa dhabihu katika bustani+ na kufukiza moshi wa dhabihu kwenye matofali.
9 Lakini hawakutii, na Manase aliendelea kuwapotosha, akasababisha watende uovu mkubwa zaidi kuliko uliofanywa na mataifa ambayo Yehova alikuwa ameyaangamiza kutoka mbele ya Waisraeli.+
3 Watu wanaonikasirisha daima mbele za uso wangu,+Wanaotoa dhabihu katika bustani+ na kufukiza moshi wa dhabihu kwenye matofali.