17 “Kwa hiyo Yehova, Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Ninawaletea watu wa Yuda na wakaaji wote wa Yerusalemu msiba wote niliowaonya kuuhusu,+ kwa maana nimezungumza nao, lakini walikataa kusikiliza, nami nikaendelea kuwaita, lakini walikataa kujibu.’”+