17 Kwa hiyo akaleta juu yao mfalme wa Wakaldayo,+ ambaye aliwaua vijana wao kwa upanga+ katika nyumba ya patakatifu pao,+ wala hakumhurumia kijana wala bikira, mzee wala mkongwe.+ Kila kitu Yeye alikitia mkononi mwake.
39Katika mwaka wa tisa wa Sedekia mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kumi,+ Nebukadreza mfalme wa Babiloni na jeshi lake lote alikuja Yerusalemu na kuanza kulizingira.+