-
2 Wafalme 25:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Na jiji likazingirwa mpaka mwaka wa kumi na moja wa Mfalme Sedekia.
-
-
Yeremia 52:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Mwishowe ikawa kwamba katika mwaka wa tisa wa kuwa kwake mfalme,+ katika mwezi wa kumi, katika siku ya kumi ya mwezi huo, Nebukadreza mfalme wa Babiloni akaja, yeye pamoja na jeshi lake lote, juu ya Yerusalemu,+ nao wakaanza kupiga kambi juu yake na kujenga juu yake ukuta wa kumzingira pande zote.+
-