28 Basi Yehova akawang’oa kutoka katika udongo wao kwa hasira+ na ghadhabu na ukali mwingi na kuwatupa katika nchi nyingine kama ilivyo kufikia leo hii.’+
2 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Ninyi wenyewe mmeona msiba wote ambao nimeleta juu ya Yerusalemu+ na juu ya majiji yote ya Yuda, na, tazama, hayo leo ni mahali palipoharibiwa, na ndani yake hamna mkaaji.+