Kumbukumbu la Torati 28:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 taifa lenye sura kali,+ ambalo halitapendelea mwanamume mzee wala kumwonyesha kibali kijana.+ Ezekieli 21:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Nami nitamwaga shutuma zangu juu yako. Kwa moto wa ghadhabu yangu nitapuliza juu yako,+ nami nitakutia mkononi mwa watu wasiotumia akili, mafundi wa uharibifu.+ Habakuki 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana, tazama, ninawasimamisha Wakaldayo,+ taifa lenye uchungu na lenye haraka, linaloenda kote duniani ili kumiliki makao yasiyo yake.+
31 Nami nitamwaga shutuma zangu juu yako. Kwa moto wa ghadhabu yangu nitapuliza juu yako,+ nami nitakutia mkononi mwa watu wasiotumia akili, mafundi wa uharibifu.+
6 Kwa maana, tazama, ninawasimamisha Wakaldayo,+ taifa lenye uchungu na lenye haraka, linaloenda kote duniani ili kumiliki makao yasiyo yake.+