7 Amepanda kama simba kutoka katika kichaka chake,+ na yule anayeyaangamiza mataifa ameondoka;+ ametoka mahali pake ili kuifanya nchi yako kuwa kitu cha kushangaza. Majiji yako yatabomoka hivi kwamba hakutakuwa na mkaaji.+
5 Nami nitafanya Raba+ pawe kiwanja cha malisho cha ngamia na wana wa Amoni wawe mahali pa kupumzika kwa ajili ya kundi;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.” ’ ”+