Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 17:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Majiji ya Aroeri+ ambayo yameachwa yamekuwa mahali pa makundi, ambapo kwa kweli yanajilaza, pasipo mtu yeyote wa kuyatetemesha.+

  • Isaya 32:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana mnara wa makao umeachwa,+ kelele za jiji zimeachwa; Ofeli+ na mnara wa mlinzi umekuwa nyika, kwa wakati usio na kipimo furaha ya punda-milia, malisho ya makundi;

  • Sefania 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na katikati yake, makundi yatalala yakiwa yamejinyoosha, wanyama-mwitu wote wa taifa.+ Mwari na nungunungu+ watakaa usiku kucha palepale kati ya kombe zake za nguzo.+ Sauti itakuwa inaimba dirishani. Kutakuwa na uharibifu kizingitini; kwa maana atafunua mbao za ukutani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki