16 na eneo lao likawa kutoka Aroeri,+ lililo kwenye ukingo wa bonde la mto la Arnoni, na lile jiji lililo katikati ya bonde la mto, na nchi yote tambarare ya juu, karibu na Medeba;+
33 kutoka Yordani kuelekea mashariki, nchi yote ya Gileadi,+ Wagadi+ na Warubeni+ na Wamanase,+ kutoka Aroeri,+ lililoko kando ya bonde la mto la Arnoni, naam, Gileadi na Bashani.+