Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 32:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Na wana wa Gadi wakajenga Diboni+ na Atarothi+ na Aroeri,+

  • Yoshua 13:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 na eneo lao likawa kutoka Aroeri,+ lililo kwenye ukingo wa bonde la mto la Arnoni, na lile jiji lililo katikati ya bonde la mto, na nchi yote tambarare ya juu, karibu na Medeba;+

  • 2 Wafalme 10:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 kutoka Yordani kuelekea mashariki, nchi yote ya Gileadi,+ Wagadi+ na Warubeni+ na Wamanase,+ kutoka Aroeri,+ lililoko kando ya bonde la mto la Arnoni, naam, Gileadi na Bashani.+

  • Yeremia 48:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Simama tuli na kuiangalia njia, Ee mwanamke mkaaji wa Aroeri.+ Muulize yeye anayekimbia na yeye anayeponyoka. Sema, ‘Kumetokea nini?’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki