1 Samweli 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Eli akasikia sauti za vilio hivyo. Basi akasema: “Sauti ya machafuko haya inamaanisha nini?”+ Yule mtu akafanya haraka ili aingie na kumpa Eli habari.
14 Na Eli akasikia sauti za vilio hivyo. Basi akasema: “Sauti ya machafuko haya inamaanisha nini?”+ Yule mtu akafanya haraka ili aingie na kumpa Eli habari.