36 Toka Aroeri,+ jiji lililo kando ya ukingo wa bonde la mto la Arnoni, na lile jiji lililo katika bonde la mto, mpaka Gileadi, hakukuwa na mji wowote uliokuwa juu sana kwetu.+ Yehova Mungu wetu aliitia yote mkononi mwetu.
2 Sihoni+ mfalme wa Waamori, aliyekaa katika Heshboni,+ akitawala kutoka Aroeri,+ lililokuwa kwenye ukingo wa bonde la mto la Arnoni,+ na katikati ya bonde la mto, na nusu ya Gileadi hadi bonde la mto la Yaboki,+ mpaka wa wana wa Amoni,
26 Wakati Israeli walipokuwa wakikaa katika Heshboni na miji yake ya kandokando+ na katika Aroeri+ na miji yake ya kandokando na katika majiji yote yaliyo kando ya kingo za Arnoni kwa miaka mia tatu, kwa nini, basi, hamkuinyakua wakati huo?+