36 Toka Aroeri,+ jiji lililo kando ya ukingo wa bonde la mto la Arnoni, na lile jiji lililo katika bonde la mto, mpaka Gileadi, hakukuwa na mji wowote uliokuwa juu sana kwetu.+ Yehova Mungu wetu aliitia yote mkononi mwetu.
5 Ndipo wakavuka Yordani, wakapiga kambi katika Aroeri+ upande wa kuume wa jiji lililoko katikati ya bonde la mto, kuelekea Wagadi,+ na kwenda Yazeri.+