Hesabu 32:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 na Nebo+ na Baal-meoni+—majina yao yakiwa yamebadilishwa—na Sibma; nao wakaanza kuyaita kwa majina yao wenyewe majiji waliyojenga. Isaya 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ameenda mpaka juu kwenye Ile Nyumba na mpaka Diboni,+ mpaka mahali pa juu, kwenye kilio. Moabu inapiga mayowe juu ya Nebo+ na juu ya Medeba.+ Pana upara+ juu ya vichwa vyote ndani yake; ndevu zote zimenyolewa.
38 na Nebo+ na Baal-meoni+—majina yao yakiwa yamebadilishwa—na Sibma; nao wakaanza kuyaita kwa majina yao wenyewe majiji waliyojenga.
2 Ameenda mpaka juu kwenye Ile Nyumba na mpaka Diboni,+ mpaka mahali pa juu, kwenye kilio. Moabu inapiga mayowe juu ya Nebo+ na juu ya Medeba.+ Pana upara+ juu ya vichwa vyote ndani yake; ndevu zote zimenyolewa.