Hesabu 32:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na wana wa Gadi wakajenga Diboni+ na Atarothi+ na Aroeri,+ Kumbukumbu la Torati 2:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Toka Aroeri,+ jiji lililo kando ya ukingo wa bonde la mto la Arnoni, na lile jiji lililo katika bonde la mto, mpaka Gileadi, hakukuwa na mji wowote uliokuwa juu sana kwetu.+ Yehova Mungu wetu aliitia yote mkononi mwetu.
36 Toka Aroeri,+ jiji lililo kando ya ukingo wa bonde la mto la Arnoni, na lile jiji lililo katika bonde la mto, mpaka Gileadi, hakukuwa na mji wowote uliokuwa juu sana kwetu.+ Yehova Mungu wetu aliitia yote mkononi mwetu.