36 Toka Aroeri,+ jiji lililo kando ya ukingo wa bonde la mto la Arnoni, na lile jiji lililo katika bonde la mto, mpaka Gileadi, hakukuwa na mji wowote uliokuwa juu sana kwetu.+ Yehova Mungu wetu aliitia yote mkononi mwetu.
9 kutoka Aroeri,+ lililo kwenye ukingo wa bonde la mto la Arnoni,+ na lile jiji lililo katikati ya hilo bonde la mto, na nchi yote tambarare ya juu ya Medeba+ hadi Diboni;+